Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Prof. Mohammed Sheikh (wa tatu kulia) akiwa na Menejimenti ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO), alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo yaliyopo Ras Mkwavi–Kigamboni, jijini Dar es Salaam kukagua utekelezaji wa mradi wa ukarabati wa gati la kuegeshea meli (floating jetty) na maandalizi ya ujio wa meli ya uvuvi ya Shirika kwenye ziara aliyoifanya Februari 10,2026. Kulia kwake ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu TAFICO Bi. Perpetua Massaga.
TAFICO FV. 01, meli mpya ya uvuvi ya TAFICO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (katikati) kwenye picha ya pamoja na viongozi na watendaji wa wizara, menejimenti na watumishi wa TAFICO, alipotembelea Makao Makuu ya TAFICO Disemba 05, 2025
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (katikati) kwenye picha ya pamoja na viongozi na watendaji wa wizara, menejimenti na watumishi wa TAFICO, alipotembelea Makao Makuu ya TAFICO Disemba 05, 2025
Uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi TAFICO 08 Aprili 2025
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe akizindua mtambo wa kuzalisha barafu za tofali (block ice) wa Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO), tarehe 07 Machi 2025, Makao Makuu ya TAFICO, Ras Mkwavi, Kigamboni Dar es Salaam.
Makao Makuu ya TAFICO yaliyopo Ras Mkwavi, Kigamboni Dar es Salaam
Jodari (Yellowfin tuna): moja ya aina ya samaki ambazo TAFICO inalenga kuvua kutoka maji marefu ya bahari, kuchakata, kuuza na kuongeza mnyororo wa thamani