Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (kulia), akimkabidhi nyaraka za Utendaji kazi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TAFICO Prof. Yunus Daud Mgaya, katika Hafla ya Uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika Julai 13, 2026, katika Ofisi za Makao Makuu ya TAFICO, Ras Mkwavi, Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (walioketi katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya TAFICO, katika Hafla ya Uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika Julai 13, 2026, katika Ofisi za Makao Makuu ya TAFICO, Ras Mkwavi, Kigamboni jijini Dar es Salaam.
TAFICO FV. 01, Meli ya kwanza ya uvuvi wa Bahari Kuu ya TAFICO ikiwa imeegeshwa katika gati la TAFICO lililopo Ras Mkwavi, Kigamboni, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (kulia kwake), Naibu Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar Mhe. Mboja Ramadhan Mshenga (kushoto kwake), na mabaharia wakati wa hafla ya uzinduzi wa meli ya kwanza ya uvuvi wa Bahari Kuu ya TAFICO.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua meli ya kwanza ya Uvuvi wa bahari kuu ambayo itaiwezesha nchi kuvua samaki waliopo kwenye ukanda wa maalum wa uchumi wa bahari (EEZ) ambao awali haukuweza kufikiwa kutokana na kukosekana kwa meli ya aina hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua meli ya kwanza ya Uvuvi wa bahari kuu ambayo itaiwezesha nchi kuvua samaki waliopo kwenye ukanda wa maalum wa uchumi wa bahari (EEZ) ambao awali haukuweza kufikiwa kutokana na kukosekana kwa meli ya aina hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya uzinduzi wa meli ya kwanza ya Uvuvi wa bahari kuu ambayo itaiwezesha nchi kuvua samaki waliopo kwenye ukanda wa maalum wa uchumi wa bahari (EEZ) ambao awali haukuweza kufikiwa kutokana na kukosekana kwa meli ya aina hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua meli ya kwanza ya Uvuvi wa bahari kuu ambayo itaiwezesha nchi kuvua samaki waliopo kwenye ukanda wa maalum wa uchumi wa bahari (EEZ) ambao awali haukuweza kufikiwa kutokana na kukosekana kwa meli ya aina hiyo.
Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo katika Makao Makuu ya TAFICO Ras Mkwavi, Kigamboni Dar es Salaam iliyofanyika 13 Machi 2026
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Agnes Meena (katikati) akitoa maelekezo wakati akipokea mradi wa ukarabati wa gati la kuegeshea meli (floating jetty) wa TAFICO, uliopo Makao Makuu ya Shirika Ras Mkwavi, Kigamboni jijini Dar es Salaam Februari 15, 2026. Kushoto kwake waliopo mstari wa mbele ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Prof. Mohammed Sheikh, na kulia kwake waliopo mstari wa mbele ni Afisa Mtendaji Mkuu wa TAFICO CPA Shaibu Matessa.