Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO)

Je TAFICO inaendeshwaje?

Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) ni Shirika la Umma linalosimamiwa na Bodi ya Wakurugenzi katikakutekeleza majukumu yake kama ilivyoainishwa chini ya kifungu cha 9 cha Sheria ya Shirika ya Umma Sura namba 257 ya Mwaka 1969 na aya ya 6 ya Hati ya uanzishwaji wa TAFICO ya mwaka 1974. Shirika linatekeleza majukumu yake kwa ubi ana sekta binafsi kupitia mpango wa PPP na Joint venture. Aidha, shikila linaweza kushitaki na kushtakiwa.